Tuesday, October 28, 2014

wingi wa ajari za barabarani Dar es salaam

Wimbi la ongezeko la ajari za barabarani jijini Dar es salaam nini chazo cha ajari hizo?

Ajari iliotokea temeke jijini Dar es Salaam


Ajari hii imetokea baada ya roli kukata kona na kontena kuangukia daladala.
Ajari iliopelekea kuungua kwa gari hilo Sinza Africana, jijini Dar es salaam.

Monday, October 27, 2014

Foleni yawa kero kwa watumiaji wa barabara ya Morogoro road.

Foleni yawa kero kwa watumiaji wa barabara ya morogoro road kitu  kinachopelekea uvunjwaji wa sheria za barabarani. Nini kifanyike kuhusu hili?

Foleni iliyopo morogoro road

Foleni eneo la  ubungo maji Dar es salaam

Foleni ubungo 

Foreni morogoro road

Wednesday, October 22, 2014

Wimbi la watoto wa mitaani hili nalo nitatizo la Selikari peke yake

Ongezeko la watoto wa mitaani bado ni kubwa Selikali peke yake imeshindwa kulitatua.Watoto kila kukicha wanazidi kuongezeka kwenye mitaa yetu wakikosa elimu na kuomba omba mitaani, sababu kubwa ikiwa magonjwa, ukatili, manyanyaso, udanganyifu , na kutelekezwa na wengine kutumwa kutafuta pesa majumbani mwao, Hali inayopelekea  kuongezeka kwa ujinga ,uhalifu na magonjwa ya zinaa kwa kukosa elimu ya afya ya uzazi ni wakati wa mimi na wewe na Selikari yetu  kuinuka na kushikana mikono pamoja na makampuni ya watu binafsi kutatua wimbi hili.


watoto wa mitaani ,faya Dar es salaam


Mtoto akiwa anaomba msaada yeye na mdogo wake 

Watoto wa mitaani wakijaribu kuomba msaada kwenye daladala
.

Monday, October 20, 2014

Soko la samaki Ferry Dar es salaam

  

Halisi ya soko la samaki jijini Dar es salaam sio  rafiki kwa watumiaji.

Muonekano wa juu wa soko la samaki ferry Dar es salaam




Wapika debe (madalali) wakiwa wamelala ndani ya soko
Wafanya 
biasharawakikaanga na kuuza samaki 

Baadhi ya wafanyabiashara  wa kisubiri mnada  wa samaki 





Tuesday, October 14, 2014

Roli la mafuta lasababisha maafa ya moto

Roli la mafuta limedondoka usiku wa kuamkia jana, Mbagara rangi tatu na kusababisha maafa ya moto yaliopelekea kuungua kwa baadhi ya nyumba ziliopo eneo hilo.  Nakusababisha vifo vya watu watatu waliokuwa wanachota mafuta kwenye roli hilo na wengine kumi na tano kujeruhiwa.

Roli la mafuta lililosababisha maafa hayo.


            


Baadhi ya nyumba zilizokumbwa na maafa hayo.


Wakazi wa Mbagara rangi tatu wakishangaa na kusikitishwa na athari zilizo sababishwa na moto huo.