Sunday, October 12, 2014

Tatizo la maji kero kwa wakazi wa Kimara Dar es salaam

Baadhi ya picha zikionyesha tatizo la maji kwa wakazi wa Kimara Kin'gongo Dar es salaam 


Baadhi ya wakazi wa kimara kin'gongo wakifua na kuosha vyombo katika mto mbezi jijini Dar es salaam


Wakazi wa Kimara Kin'gongo Dar es salaam  wakichota maji  kwa ajiri ya matumizi yao ya nyumbani.







1 comment: